Picha za Mchezaji wa Everton Morgan Schneiderlin akiwa katika mbuga za Tanzania.
Mchezaji wa club ya Everton Morgan Schneiderlin ameingia katika Orodha ya Mastaa wa soka walifanikiwa kuja kutalii Tanzania kwa mwaka 2017 ,akitanguliwa na David Beckham,Mamadou Sacko na Christian Ericksen,Kwa sasa Scheneiderlin na mkewe wapo hapa nchini Tanzania wakiwa wanasheherekea fungate.
No comments